Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema kuwa ni wajibu wao kuhoji na pia Serikali ni wajibu wao kutoa majibu huku akisema yeye binafsi hawezi kuhujumu nchi yake.
"Ni wajibu wetu kuhoji. Ni wajibu wa Serikali kutoa majibu. Mimi binafsi siwezi hujumu nchi yangu aslani. Kubalini KUHOJIWA",aliandika Zitto kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Kauli hiyo ya Zitto Kabwe, inakuja baada ya Bi Zamaradi Kawawa kusema kuwa, Serikali imesikitishwa na ushiriki wa Wanasiasa na baadhi ya watu kuhujumu maendeleo ya nchi.
Saturday, 19 August 2017
Home
Unlabelled
Zitto kabwe: Serikali kubalini kuhojiwa na kutoa majibu, ni wajibu wetu kuhoji
Zitto kabwe: Serikali kubalini kuhojiwa na kutoa majibu, ni wajibu wetu kuhoji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment