Tundu Lissu apata dhamana kwa baada ya kushikiliwa na jeshi la polisi Massa 48 - KULUNZI FIKRA

Thursday 24 August 2017

Tundu Lissu apata dhamana kwa baada ya kushikiliwa na jeshi la polisi Massa 48

 
 Ndani ya mahabusu kwa saa 48 hatimaye Mwanasheria Mkuu wa Chama na rais wa TLS Mh Tundu Lissu amepewa dhamana ya Polisi majira ya saa 11 jioni.

Amepewa masharti ya kuripoti kituo cha polisi Jumatatu tarehe 28/8/2017 wakati wowote akiwa na muda.

Amedhaminiwa na mawakili wake Fred Kihwelo na Msemo.

No comments:

Post a Comment

Popular