Mbeya mabomu yarindima, wafanyabiashara wakatazwa kujenga soko lililoungua - KULUNZI FIKRA

Friday, 18 August 2017

Mbeya mabomu yarindima, wafanyabiashara wakatazwa kujenga soko lililoungua

    Jeshi la Polisi limewazuia Wafanyabiashara wa Soko la SIDO wasijenge upya vibanda na maduka yao yalivyoteketea kwa moto

    Wafanyabiashara wa soko jipya lililoungua, wadai kuwa serikali ndiyo iliyounguza soko lao ili wahamie katika soko jipya lililojengwa na serikali la mwanjelwa,

    Pia wanalalamikia kuwa wanahamishwa sido kwa sababu mfanyabiashara maarufu nchini ameuziwa soko hilo ili ajenge hapo. Hivyo wamegoma kupangiwa na halmashauri kuondoka hapo
  Polisi Mbeya imetumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanyabiashara wa soko la Sido waliokusanyika wakitaka ruhusa kujenga vibanda vyao upya
    

No comments:

Post a Comment

Popular