Mkazi wa Kijiji cha Kerende Kata ya Kemambo wilaya ya Tarime mkoani Mara, Mussa Martine 17 amekutwa amekufa katika kituo cha polisi cha Nyangoto wilayani humo kwa kile kinachodaiwa kujinyonga.
Kwa mujibu wa mmoja wa majirani. Juma Nkome, marehemu alikuwa akiishi na bibi yake, alikutwa amejinyonga juzi kwa kutumia shati lake usiku wa kuamkia Agosti 22.
Inadaiwa kwamba alishikiliwa na polisi Agosti 21 kwa tuhuma za kujihusisha na tukio la ubakaji lililotokea miezi miwili iliyopita.
Kamanda wa Polisi Tarime/Rorya Henry Mwaibambe hakupatika kuzungumzia tukio hilo baada ya simu yake ya kiganjani kuita bila kupokelewa.
Wednesday 23 August 2017
Home
Unlabelled
Mara,Tarime: Mtuhumiwa ajinyonga kwa kutumia shati lake mahabusu
Mara,Tarime: Mtuhumiwa ajinyonga kwa kutumia shati lake mahabusu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment