Rais John Magufuli leo ijumaa amefanya uteuzi wa viongozi watatu katika nafasi mbalimbali.
Taarifa iliyotolewa imeeleza kuwa Rais Magufuli amemteua profesa Abdulkarim Mruma kwa mwenyekiti wa kampuni ya kuifadhi mafuta (Tiper) .
Profesa Mruma pia ni mtendaji mkuu wa wakala jiolojia.
Pia Rais Magufuli amemteua profesa Joseph Buchweshaija kuwa mwenyekiti wa kampuni ya puma Energy Tanzania.
Profesa Buchweshaija ni Naibu mkuu wa chuo kikuu kishiriki cha Elimu Dar es salaam (DUCE).
Vile vile Rais Magufuli amemteua profesa Evaristo Liwa kuwa makamu wa chuo cha ardhi (ardhi university).
Profesa Liwa amechukua nafasi ya Idrissa Msharo ambaye amestaafu.Uteuzi wa viongozi hao umeanza Agosti 17,2017
Friday, 18 August 2017
Home
Unlabelled
Magufuli ateua maprofesa watatu kuongoza taasisi
Magufuli ateua maprofesa watatu kuongoza taasisi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment