Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Manispaa ya Iringa kimepata pigo baada ya madiwani watatu kujivua uwanachama na udiwani kutokana na changamoto zilizopo kwenye chama hicho.
Hiyo imetokeo leo wakati wa Katibu mkuu wa chama hicho Vincent mashinji akiwa ziarani mkoani Iringa kwa ajili ya kuimalisha na kukijenga chama kwa kuweka mikakati madhubuti ya kuongea wanachama na utendaji wa madiwani na wabunge wa hao.
Wakizungumza na waandishi wa habari madiwani hao ambao ni Leah mleleu,Baraka kimata na Husna Daudi walisema kuwa wameamua kuchukua jukumu hilo zito kutokana na udikteta unaofanywa na viongozi wa chama hicho hapa Manispaa ya Iringa.
Kimata alisema kuwa madiwani wa chama cha CHADEMA Manispaa ya Iringa wamekuwa wakimnyeyekea mbunge.
Kikubwa kilichosemwa na madiwani wote ni uongozi wa kidikteta unaoendelea ndani ya chama hicho na huku viongozi wa juu wa chama hicho wakiwa kimya.
Wednesday 23 August 2017
Home
Unlabelled
Madiwani watatu wa chadema manispaa ya Iringa wajivua uanachama na udiwani
Madiwani watatu wa chadema manispaa ya Iringa wajivua uanachama na udiwani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dkt Fredrick Shoo amefunguka na kusema kuwa kama taifa linahitaji maendeleo...
-
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CUF), Mhe Abdallah Mtolea amefunguka na kuweka wazi kuwa mgogoro uliopo ndani ya Chama chake umekuwa ukiathir...
-
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Mhe Freeman Mbowe na wenzake wanane ya kutaka kesi dhidi yao ipelekwe Mahakam...
-
Serikali imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa katika uhitaji wa uzoefu katika nafasi za kazi(work Experience) kwa vijana wa Tanzania. ...
No comments:
Post a Comment