Rais Magufuli ametangaza mabadiliko katika Baraza la Mawaziri na pia kuteua Katibu mpya wa Bunge.
Wizara zimeongezeka kutoka 19 hadi 21, Mawaziri kutoka 19 hadi 21, Manaibu Waziri kutoka 16 hadi 21.
Rais Magufuli: Pia tumeongeza Mawaziri 2 na Manaibu Waziri 5
Rais Magufuli: Waziri wa Mazingira amebaki kuwa January Makamba, Naibu atakuwa Mh. Kangi Lugola"
Rais Magufuli: Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi tumeigawa na kuwa Wizara 2 za Wizara ya Kilimo na Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Selemani Jaffo amepandishwa na kuwa Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, kabla alikuwa Naibu kwenye Wizara hiyo.
Mbunge George Mkuchika ameteuliwa kuwa Waziri Ofisi ya Rais Utawala Bora.
Rais Magufuli: Mbunge Luhaga Mpina ameteuliwa kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Abdallah Ulega ameteuliwa kuwa Naibu Waziri katika Wizara hiyo.
Wizara ya Fedha na Mipango itaendelea kuwa chini ya Waiziri Dr Philip Mpango na Naibu Waziri Dr Ashatu Kijaji
Wizara ya Kilimo Waziri ni Charles John Tzeba, na Naibu Waziri ni Marry Mwanjelwa
Wizara ya Habari utamaduni wasanii na Michezo, Waziri ni Harrison Mwakyembe na Naibu Waziri ni Juliana Shonza
Wizara ya Madini, Waziri ni Angela Kairuki na Naibu Waziri Harun S Nyongo
Wizara ya Nishati, Waziri atakuwa Medadi Kalemani Naibu Waziri atakuwa Subira Hamisi
Katibu wa bunge Steven Kagaigai na Dkt. Thomas Kashilila atapangiwa kazi nyingine
Saturday, 7 October 2017
Home
Unlabelled
Rais Magufuli afanya mabadiliko makubwa katika baraza la mawaziri
Rais Magufuli afanya mabadiliko makubwa katika baraza la mawaziri
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment