Mzee mtulivu Edward Lowasa amelaumia na viongozi wa juu wa CCM kwamba anaingilia chaguzi zinazoendelea CCM.
Lowasa ambaye alishahama chama hicho toka 2015 amekuwa akilaumiwa kutokana na kuendelea kutajwa kwa kutolewa mfano na wanachama wa CCM.
Baadhi ya wanachama wa CCM wametishiwa kutimuliwa chamani kutokana na kuendekeza mapenzi yao kwa Lowasa.
Kauli ya Lowasa aliyotoa jana na kushika kasi juzi na Jana ikiripotiwa katika magazeti,imekichanganya chama na kuzidisha lawama. Lowasa amenukuliwa akiwataka wana CCM wanaovutiwa na demokrasia wahamie Chadema na UKAWA kufaidi matunda ya nchi yao.
Lowasa amesisitiza kuwa hata wale watakao bakia CCM wamuunge mkono wakiwa hukohuko kwani chama chao kinawakatisha tamaa
Sunday, 8 October 2017
Home
Unlabelled
Lowasa alaumiwa kwa kuingilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM)
Lowasa alaumiwa kwa kuingilia uchaguzi wa chama cha mapinduzi (CCM)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment