Mbunge wa Bunda Mjini Kupitia CHADEMA, Ester Amos Bulaya, amemtaka Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mwigulu Nchemba, kuwataja watu wanaofanya uhalifu ikiwepo kuwatishia maisha baadhi ya viongozi hapa nchini ikiwepo Nape Nnauye kwani anawajua.
Bulaya ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na mwandishi wa habari wa kulunzifikra blog na kusema kwamba Waziri anawajua watu hao lakini anaogopa kuwataja kwa kulinda kitumbua chake kuingia mchanga.
Ester Bulaya ameendelea kusema kwamba kitendo hicho sio kizuri kwani kinaweza kutokea kwa watu wengine ikiwemo familia yake, na hivyo atashindwa kuchukua hatua kama ambavyo anafanya sasa.
Wednesday, 4 October 2017
Home
Unlabelled
Ester Bulaya amjia juu Mwigulu Nchemba kuhusu watu wasiojulikana
Ester Bulaya amjia juu Mwigulu Nchemba kuhusu watu wasiojulikana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment