Polisi wamevamia mkutano wa Sheikh Issa Ponda katika hoteli ya Iris, Kariakoo. Taarifa za awali zinasema baadhi ya waandishi wamekamatwa.
Awali alikuwa anazungumzia kuhusu Matukio ya utekaji, mauaji, kupigwa risasi kwa baadhi ya viongozi wa dini na siasa, tushikamane kukomesha vitendo hivi
“Mimi mwenyewe mwaka 2013 nilipigwa risasi, mwaka huu tena amepigwa Lissu, ninawaomba wananchi tujitokeze ili kukemea,”- Sheikh Ponda
Wednesday, 11 October 2017
Home
Unlabelled
Dar es salaam: Polisi wavamia mkutano wa Sheikh Ponda
Dar es salaam: Polisi wavamia mkutano wa Sheikh Ponda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment