"Serikali ya Awamu ya 5 inaongoza kufungia magazeti kuliko Serikali zote zilizopita. Sababu za kufungia gazeti la RaiaMwema hazina msingi wowote na ni aibu kubwa.
Ukosoaji unaofanywa na RaiaMwema ni ukosoaji wenye staha unaopaswa kulindwa kwenye jamii yeyote yenye kuheshimu demokrasia.
Kama hutaki kukosolewa huna sifa ya kuwa Kiongozi wa Umma, tena kwenye Nchi ya Wastaarabu kama Tanzania".
Friday, 29 September 2017
Home
Unlabelled
Zitto kabwe: Serikali ya awamu ya tano inaongoza kufungia magazeti
Zitto kabwe: Serikali ya awamu ya tano inaongoza kufungia magazeti
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment