Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli amesema anajuta kuwa rais kutokana dosari nyingi alizozikuta karibu kila sehemu ikiwemo ufisadi na wafanyakazi hewa.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo wakati akihutubia wakazi wa Arusha waliohudhuiria kushuhudia zoezi la kutunuku kamisheni kwa maafisa wapya wa JWTZ 422 katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Jijini Arusha.
Amesema “Nimeamua kuwa sadaka kwa ajili ya kuwanyoosha mafisadi... naamini hapatatokea mwingine atakayejitoa hivi”
Kuhusu Kuhamia Dodoma, amesema mwaka huu makamu wa rais atahamia Dodoma na mwakani yeye mwenyewe atahamia huko huku akionya watakaobaki Dar es Salaam kuwa watakuwa wamejifukuzisha kazi.
Katika hatua rais Magufuli ametangaza ajira mpya 3,000 za jeshi ili kuongeza nguvu kazi katika jeshi la wananchi wa Tanzania.
Saturday, 23 September 2017
Home
Unlabelled
Rais Magufuli: Najuta kuwa Rais
Rais Magufuli: Najuta kuwa Rais
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment