Mshambuliaji wa Simba SC John Raphael Bocco amewaomba mashabiki wa Simba kumvumilia kwa muda kabla ya kuonyesha makeke yake aliyokuwa nayo katika Klabu yake ya zamani ya Azam FC.
Bocco aliyeifungia Simba bao lake la kwanza kwenye ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mwadui FC ya Shinyanga hapo jana amesema anahitaji muda zaidi kwa ajili ya kuonyesha makali yake aliyokuwa nayo hapo awali.
“Kwanza kwa wale ambao wanasema nimeshuka kiwango pole yao kwa sababu bado nina uwezo mkubwa, lakini nahitaji muda zaidi hapa Simba kabla ya kuonyesha makali yangu ambayo nilikuwa nayo Azam FC". Alisema John Bocco
Mchezaji huo wa Zamani Wa Azam FC amesema anaamini akipewa nafasi mara kwa mara katika kikosi cha kwanza ataweza kufunga mabao mengi zaidi.
Monday, 18 September 2017
Home
Unlabelled
Bocco aomba kupewa muda zaidi ndani ya klabu ya Simba
Bocco aomba kupewa muda zaidi ndani ya klabu ya Simba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment