Mfanyabiashara Yusuf Manji leo August 18, 2017 ameshindwa kufika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi ya uhujumu uchumi kwa sababu za kiafya.
Hayo yameelezwa na Wakili wa Serikali, Estazia Wilson mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Godfrey Mwambapa wakati shauri lilipoitishwa kwa ajili ya kutajwa ambapo alidai kuwa amepata taarifa kutoka kwa Askari Magereza kwamba Manji anaumwa na amepewa (AD) ya siku mbili.
Licha ya Yusuf Manji kutofika Mahakamani kwa sababu za kiafya, washtakiwa wenzake Deogratius Kisinda, Abdallah Sangey na Thobias Fwere walifika ambapo baada ya kuelezwa hayo, Hakimu Mwambapa aliahirisha kesi hiyo hadi August 25, 2017.
Friday, 18 August 2017
Home
Unlabelled
Yusuf Manji kwa Mara nyingine ameshindwa kufika mahakamani
Yusuf Manji kwa Mara nyingine ameshindwa kufika mahakamani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment