Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Tarime/Rorya ashindwa kueleza kifungu cha sheria au kununi ya adhabu aliyovunja Esther Bulaya.
Wiki iliyoisha Esther Bulaya ambaye ni mbungewa Bunda mjini, aliwekwa Korokoroni kwa kile kilichodaiwa ni kufanya mkutano wa hadhara kwenye jimbo lisilo lake la Tarime Vijijini.
Bulaya ambaye ni CHADEMA, alienda kwenye jimbo la Heche la Tarime vijijini ambaye pia ni CHADEMA. Heche alikuwa na Ziara jimboni mwake ambapo kulifanyika mkutano Nyamongo, Walikuwa na mkutano wa hadhara, Polisi hawakufurahishwa na kitendo cha Bulaya kupanda jukwaani kusalimia na kuhutubia kwani sio jimboni kwake.
Tuesday, 22 August 2017
Home
Unlabelled
Tarime: kamanda wa polisi ashindwa kueleza sheria iliyovunjwa na Esther Bulaya kwenda jimbo lisilo lake
Tarime: kamanda wa polisi ashindwa kueleza sheria iliyovunjwa na Esther Bulaya kwenda jimbo lisilo lake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
-
Wakati leo hii Rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta akiapishwa, Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Jakaya Kikwete ametoa sababu kushin...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limetekeleza agizo la Rais John Magufuli kwa kumpatia ulinzi Ana-Joyce Francis, mjane mwenye watoto sita,...
No comments:
Post a Comment