Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana amevunja mabaraza ya biashara mkoani Dodoma kutokana na changamoto mbalimbali ukiwa ni pamoja na kutumika kisiasa.
Akizungumza leo jumanne ofisini kwake, Rugimbana amesema mabaraza yaliyovunjwa ni ya wilaya na la mkoa.
Amewaagiza wakuu wa wilaya kusimamia uundwaji wa mabaraza hayo ndani ya siku saba.
Amesema mabaraza yatakayoundwa yalenge kutatua changamoto zilizokuwa zikiyakabili.
Pia amesema mabaraza hayo anataka yasimamie uanzishwaji wa viwanda
Tuesday, 15 August 2017
Home
Unlabelled
RC Dodoma avunja mabaraza ya biashara kwa sababu za kisiasa
RC Dodoma avunja mabaraza ya biashara kwa sababu za kisiasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...
No comments:
Post a Comment