Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi TAKUKURU - KULUNZI FIKRA

Monday 21 August 2017

Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi TAKUKURU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe John Pombe Magufuli leo tarehe 21 Agosti, 2017 amemteua Brigedia Jenerali John Julius Mbungo kuwa Naibu mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa ( TAKUKURU)
Uteuzi wa Brigedia Jenerali John Julius Mbungo unaanza leo tarehe 21 Agosti 2017.

No comments:

Post a Comment

Popular