Mfanyabiashara Ramadhani Athumani Juma maarufu kama Elias Jeremiah Mazimbaka amefikishwa katika mahakama ya Hakimu mkazi kisutu akikabiliwa na shataka la kujitambulisha kuwa yeye ni Mkurugenzi wa habari wa Ikulu , Gerson Msingwa.
Akisoma hati ya mashtaka Jana wakili wa serikali, Jacquline Nyantari alidai kuwa kati ya ya juni 28 na julai 4 2017 Dar es salaam kwa nia ya kudanganya alijitambulisha kama Gerson Msigwa ambaye ni Mkurugenzi wa habari wa Ikulu kwa Ladslaus Matindi .
Amedai kuwa mshtakiwa huyo alifanya kosa hilo katika kipindi hicho kwa lengo la kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu.
Mshtakiwa alikana shtaka upande wa mashtaka ulidai upelelezi bado ujakamilika,mshtakiwa ametakiwa kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika ambao watasaini bondi ya sh 1 milioni,kesi imeairishwa mpka Agosti 23 2017 mwaka huu.Mtuhumiwa akuweza kukamilisha masharta ya dhamana na kurudishwa rumande
Tuesday, 15 August 2017
Home
Unlabelled
Apanda kizimbani kwa kujifanya msemaji wa Ikulu
Apanda kizimbani kwa kujifanya msemaji wa Ikulu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular
-
THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Ac...
-
Tanzania’s Tunduru district is a major producer of gem-quality sapphire and ruby, along with exotic gems such as alexandrite and tsavor...
-
Moto mkubwa umelipuka na kuunguza soko la wafanyabiashara wadogo wadogo (machinga) katika eneo la Mbagala Rangi Tatu – Dar, asubuhi hii M...
-
Ofisi ya Spika wa Bunge imesema, mpaka sasa haijapokea barua toka kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Kaskazini kupitia Chama cha...
-
Spika wa zamani, Pius Msekwa amesema Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu hakuwa analazimika kuandika barua kwa Spika wa Bunge...

No comments:
Post a Comment